MUME MWEMA ANATOAKA KWA MUNGU "RAY C"

By    
LOL! Kumbe suala la kuolewa Ray C alikuwa anajaribisha tu kuona kama mashabiki wake mpo.

"Hapana sina mpango wa kuolewa, mme mwema anatoka kwa Mungu, huwezi sema unatangaza. Sasa hivi sipo kwenye mahusiano sina mtu, nikimpata mtasikia. Kuhusu kutafuta mme wa kunioa huo ulikuwa utani tu, nilikuwa nataka kuwafurahisha watu wangu wa insta. Nimepokea simu nyingi zaidi ya 500 hadi saa 6 usiku. Kwahiyo nimeona mashabiki bado wapo na wananipenda. amesema Ray C