FID Q AINGIA KWENYE ORODHA YA MARAPA 20 BORA AFRIKA

By    
Akilinganishwa na rapa kutoka South Afrika, Nigeria, Ghana na wengine kibao boa wa Afrika, Fid amesema
"Naamini tutafika namba 1 baada ya kuachia hivi vichupa (video) ambazo zipo kwenye ratiba zinazofata, sote kwa pamoja tuseme Amen."
Je unamkubali Fid Q kama rapa bora Tanzania?
Jiunge na marapper wengine kwenye kipindi cha Rush Hour, Ijumaa saa 19:00usiku kwenye MTV Base (DStv 322).