Msanii Stamina kutoka pande za Moro amedondosha ngoma yake ambayo
anasema ni maalum kwaajili ya mashabiki wa Morogoro ambako ndiko
alikotokea.Stamina Ametumia beat ya Mwanza Mwanza ya Fid Q,
SIKILIZA ngoma halafu mwenyewe utaona kama kapita kwenye hiyo beat ya Fid poa au niaje.