RATIBA NA MAKUNDI YOTE YA CECAFA (CECAFA GROUPS TIMETABLE)

By    


Stars

MICHUANO ya mwaka huu ya CECAFA Tusker Senior Challenge itafanyika nchini Uganda kuanzia Novemba 24 hadi Desemba 8 na Tanzania Bara imepangwa kundi moja, B na timu ya mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbangu, Burundi.
KUNDI A: Uganda, Kenya, Ethiopia and South Sudan
KUNDI B: Tanzania, Sudan, Burundi and Somalia
KUNDI C: Malawi, Eritrea, Rwanda and Zanzibar
ZINGATIA: Timu mbili za juu kutoka kila kundi zitafuzu Robo fainali kwa pamoja na washindi watatu bora wawili kutoka makundi yote.
KUNDI A RATIBA:
24 Novemba: Ethiopia v Sudan (Saa 9:00); Uganda v Kenya (Saa 12:00)
27 Novemba: Sudan Kusini v Kenya (Saa 9:00); Uganda v Ethiopia (Saa 12:00)
30 Novemba: Kenya v Ethiopia (Saa 9:00); Sudan Kusini v Uganda (Saa 12:00)
KUNDI B RATIBA:
25 Novemba: Burundi v Somalia (Saa 9:00); Tanzania v Sudan (Saa 12:00)
28 Novemba: Somalia v Sudan (Saa 9:00); Tanzania v Burundi (Saa 12:00)
1 Desemba: Sudan v Burundi (Saa 9:00); Somalia v Tanzania (Saa 12:00)
KUNDI C RATIBA:
26 Novemba: Zanzibar v Eritrea (Saa 9:00); Rwanda v Malawi (Saa 12:00)
29 Novemba: Malawi v Eritrea (Saa 9:00); Rwanda v Zanzibar (Saa 12:00)
1 Desemba: Malawi v Zanzibar (Saa 9:00); Eritrea v Rwanda (Saa 12:00)
ROBO FAINALI:
3 Desemba (Saa 10:00): Mshindi Kundi C vs Mshindi wa pili kundi B
3 Desemba (Saa 1:00): Mshindi Kundi A vs Mshindi wa tatu Bora wa pili
4 Desemba (Saa 10:00): Mshindi Kundi B vs Mshindi wa tatu bora wa kwanza
4 Desemba (Saa 1:00): Mshindi wa pili Kundi A vs Mshindi wa pili Kundi C
NUSU FAINALI
Desemba 6
Saa 10:00 (Nusu Fainali ya kwanza
Saa 1:00 (Nusu Fainali ya pili)
KUTAFUTA MSHINDI WA TATU:
Desemba 8 (Saa 10:00)
FAINALI: Desemba 8 (Saa 1:00)
chanzo:www.bongostarz.com