Hili ndilo hekalu la Idris Sultani, lasemekana kugharimu mamilioni ya pesa

By    

http://www.gistus.com/gs-c/uploads/2015/01/idris6.jpgWiki chache zilizopita kupitia kituo kimoja cha Tv huko nchini Kenya Idris Sultan alikiri kua kuna kipindi alifulia kabisa akawa anakosa hata hela ya matumizi. Watu wengi baada ya kuona vile walijiuliza maswali mengi je zile milioni 500 zake alipeleka wapi???


Nusu ya jibu ya swali hilo limepatikana, ukweli ni kwamba Idris anamiliki nyumba ya ghorofa ya kifahari kabisa na kwa jinsi inavyoonekana bei yake haipungui chini ya milioni 200. Hii inatokana na inavyoonekana na eneo linalozunguka nyumba hiyo kama inavyoonekana katika video hii hapa chini iliyowekwa na mtandao wa Bongoclan ambayo inamuonesha mrembo mmoja akizunguka zunguka katika mjendo huo.