BEBE COOL, SIMKUBALI EDDY KENZO

By    
Star wa nchini Uganda, Bebe Cool ameendelea kushikilia msimamo kuwa, kwa upande wake staa wa muziki Eddy Kenzo ni msanii anayechipukia, licha ya mafanikio ya kitaifa na kimataifa ambayo Kenzo ameendelea kuyapata kupitia kazi zake.
Source EATV