Mtangazaji wa Clouds Media Group anayepaza sauti yake kwenye kipindi cha Ala za Roho amekuja juu na kudai Ali Kiba Sio type ya mwanaume anayemuhitaji. Hii imetokea baada ya video ya Ali Kiba kuvuja akimla denda Diva. Msikilize hapo chini akiongelea suala hilo.
Credits: Kishymba
Credits: Kishymba