JE, UNAWAKUMBUKA HAWA JAMAA, NI MA SUPER NYOTA MKOA WA MOROGORO FIESTA 2013

By    

Kulia (anayeongea kwenye simu) ni Rama wa Kitaa na kushoto mwenye tabasamu kali ni Hamis K, msanii mwenye ngoma kazaa kali zinazobamba kwenye radio stations na television mbalimbali. Ukizungumzia ngoma ya Kombolela basi utakuwa hujamsahau Hamis K.
Kwa sasa Masupa nyota hawa wanaendelea na harakati mbalimbali za kimaisha kama shule na muziki pia kwa nafasi yake.