Mwalimu wa madrasa kauliza swali kwa wanafunzi wake!
Sheikh mkuu wa TZ anaitwa nani?.Darasa zima wakanyoosha mkono na mwl akamchagua mwanafunzi mmoja huku wengine wakiendelea kunyoosha vidole,! Dogo akajibu kwa kujiamini"ostadhi juma na musoma". Mwalimu akashangaa kuona wanafunz wote wanashusha mikono., Mwalimu akaamua kuuliza, mbona mmeshusha mikono! Wanafunzi kwa pamoja wakajibu ndo ''huyohuyoooo....!
Sheikh mkuu wa TZ anaitwa nani?.Darasa zima wakanyoosha mkono na mwl akamchagua mwanafunzi mmoja huku wengine wakiendelea kunyoosha vidole,! Dogo akajibu kwa kujiamini"ostadhi juma na musoma". Mwalimu akashangaa kuona wanafunz wote wanashusha mikono., Mwalimu akaamua kuuliza, mbona mmeshusha mikono! Wanafunzi kwa pamoja wakajibu ndo ''huyohuyoooo....!