OFFICIAL: MARIO BALOTELI AJIUNGA AC MILLAN

By    

Aliyekuwa mchezaji machachari wa AC Millan, mchezaji mwenye mbwembwe za kila aina uwanjani na mitaani aelekea kukipiga AC Millan Italia.
Akiwa AC Millan atavalia jezi yenye namba 45 pamoja na Rossoneri huku akiwa amesaini mklataba wa kuitumikia timu hiyo inayong'ara katika ligi yenye umaarufu mkubwa nchini Italia na kote duniani hadi mwaka 2017.