SUGU AMSHUKIA MSANII ROMA KUHUSU KUTAJWA KWENYE NYIMBO YA 2030

By    

Sugu akiwa ndani ya EATV katika kipindi cha Friday Night Live amemshukia roma na kumuonya kuwa awe mwangalifu na anachokiandika sio kukurupuka na kuandika vitu asivyokuwa na uhakika navyo.
Katika wimbo huo kuna kipande kinasema "Pesa ndio imemaliza bifu ya Ruge na Sugu"
Sugu alienda mbali zaidi na kusema madogo wanaokuja juu kimuziki hawamuwezi na ndio maana kawatafutia wa level zao ambaye ni mwanaye Sasha.
SUGU AMSHUKIA ROMA KWA KUMTAJA KWENYE 2030:
Sugu akiwa ndani ya EATV katika kipindi cha Friday Night Live amemshukia roma na kumuonya kuwa awe mwangalifu na anachokiandika sio kukurupuka na kuandika vitu asivyokuwa na uhakika navyo.
Katika wimbo huo kuna kipande kinasema "Pesa ndio imemaliza bifu ya Ruge na Sugu"
Sugu alienda mbali zaidi na kusema madogo wanaokuja juu kimuziki hawamuwezi na ndio maana kawatafutia wa level zao ambaye ni mwanaye Sasha. Duh!