Hii ndio ngoma mpya kutoka kwa rapper Ney Wa Mitego ikiwa inaitwa ''Utavuna Ulichopanda''.
Ni ngoma nzuri sana inafaa kwa kusikilizwa na watanzania wote wanaopenda mziki wa Bongo kwani ina ujumbe mzuri ikiwa ni tofauti na ilivyozoeleka kwa msanii huyu kutoka na ngoma za kuwakandia wasanii wa Bongo kutokana na tabia zao wanazozifanya.