PRODYUZA ALIA NA TABIA MBAYA ZA WASANII KATIKA STUDIO WANAKOREKODIA MIZIKI HIYO.

By    
Siku ya jana imekuwa ni sku ambayo prodyuza mkali aliyefanya nyimbo kali za wasanii wa bongo na hasa msanii Belle 9 kutoka mji kasoro bahari amekuwa akilia na tabia za wasanii wanazozifanya katika studio zao. Triss amefanya nyimbo nyingi sana na kali ambazo ndizo zilizomleta msanii Belle 9 na kutanbulika kwa watanzania na hata nje ya nchi, kama WANITAKA, MASOGANGE, n.k 
Hiki ndicho alichokipost Triss kupitia ukurasa wake wa Facebook, jionee mwenyewe hapa