NEW AUDIO: HUSSEIN MACHOZI FT C PWAA - READY TO GO

By    


Misemo mingi imekua ikisikika inayomuhusu msanii huyu anayeng'ara katika mziki wa bongo fleva, na hasa pale alipoamua kuamishia makazi yake huko Nairobi Kenya. Na hii imetokana na msanii huyu kuonekana akikubalika sana huko Kenya na kuudhirishia umma kuwa NABII hakubaliki kwao. Na hii ndio ngoma yake mpya aliyomshirikisha CP inayokwenda kwa jina la Ready to go. Big up Machozi kwa ngoma nzuri na tamu inayofaa kwa matumizi ya binadamu na hasa kwa wana Bongo fleva.