Kilimanjaro Stars imeyaanza kwa kishindo mashindano ya CECAFA Senior
Challenge baada ya kuwachapa Mamba wa Nile, Sudan kwa mabao mawili kwa
bila. Alikuwa ni mshambuliaji John Bocco Adebayor aliefunga mabao yote
mawili baada ya kazi nzuri ya Mrisho Ngassa. Kwa matokeo hayo Stars sasa
inashikilia nafasi kwenye kundi B huku Burundi ikiongoza baada ya
kuichapa Somalia 5-1 katika mchezo wa kwanza. Tunawapongeza Kili Stars
wanaodhaminiwa na bia yako ya Kilimanjaro Premium Lager
Kilimanjaro Stars imeyaanza kwa kishindo mashindano ya CECAFA Senior
Challenge baada ya kuwachapa Mamba wa Nile, Sudan kwa mabao mawili kwa
bila. Alikuwa ni mshambuliaji John Bocco Adebayor aliefunga mabao yote
mawili baada ya kazi nzuri ya Mrisho Ngassa. Kwa matokeo hayo Stars sasa
inashikilia nafasi kwenye kundi B huku Burundi ikiongoza baada ya
kuichapa Somalia 5-1 katika mchezo wa kwanza. Tunawapongeza Kili Stars
wanaodhaminiwa na bia yako ya Kilimanjaro Premium Lager