Virusi vya ugonjwa
wa ukimwi vinaendelea kujenga kinga dhidi ya dawa za ugonjwa huo
zinazotumika kukinga na kukabiliana na ugonjwa huo,utafiti umesema.
Virusi vya HIV vimeanza kuwa na kinga dhidi ya dawa ya Tenovir katika
asilimia 60 ya visa vyote miongoni mwa mataifa kadhaa ya Afrika
kulingana na utafiti huo uliofanyika kati ya mwaka 1998 na 2015.