Virusi vya HIV
Virusi vya ugonjwa wa ukimwi vinaendelea kujenga kinga dhidi ya dawa za ugonjwa huo zinazotumika kukinga na kukabiliana na ugonjwa huo,utafiti umesema.
Virusi vya HIV vimeanza kuwa na kinga dhidi ya dawa ya Tenovir katika asilimia 60 ya visa vyote miongoni mwa mataifa kadhaa ya Afrika kulingana na utafiti huo uliofanyika kati ya mwaka 1998 na 2015.


 






Download audio

Kupakua Mp3 bofya link hapo chini.
 
Wimbo mpya wa mwanamziki Mwenendox toka Tanzania amemuandikia Risala mheshimiwa Raisi John Pombe Magufuli wimbo huu umetayarishwa katika studio za Sampamba Music zilizopo nchini mkoani Iringa, Tanzania ili kujua ameandika nini ungana nasikuisikiliza.