Song- MAPENZI👙MATAMU
Artist - BONTA MAARIFA
Produced by Chizan Brain
Rasmi kesho jumatano tarehe 19/08/2015
Hii ni segment mpya katika Blogu yetu ya Sikiliza Mdundo ambayo tutakuwa tunaweka picha tuliyoiona imepata likes nyingi ndani ya siku moja au picha tutakayotumiwa na muhusika kwenye whatsapp namba 0655 987 588



Ne-yo ni msanii ambae atakuwepo katika Coke Studio mwaka huu, ambapo Ally Kiba ni mmoja ya wasanii waliochaguliwa na Coke Studio kufanya Collabo na  Ne-yo na Kuperform jukwaa moja.
11887282_133832143624054_289794031_n(2)
Katika kipindi cha Friday Night Live (FNL) ya EATV Ally Kiba amesema “Hii collabo ipo, ni kwa ajili ya Coke Studio lakini tunafanya recording kabisa ya nyimbo na tutachukua na video kwaajili ya kuperfome Coke Studio, itaweza kupigwa kwenye redio na TV station“.
Baada ya kutamba na Audio ya ngoma hii! Sasa Fred Swagg akimshirikisha Baraka Da Prince wanakuletea video ya nyimbo hii..Ngoma inaitwa “Kikomo”…Itazame na kuidownload hapa chini.

Davido-X-Dammy-Krane-–-Izzue-Prod.-Shizzi-spellsmusic-mp3-download
d611a__home-made-energy-green_download_button

9shots
d611a__home-made-energy-green_download_button
wpid-wizkid-and-naeto-c-550x5501
Download | Feza Kessy Feat. Chege - Sanuka [Audio]
JUX Ft JOH MAKINI-Looking For You
Download audio, click below Download link


Latiffah aka Tiffah Dangote or princess tiffah  hajamaliza hata siku moja lakini tayari ni staa si tu kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari bali hata kwenye midomo ya watu wanaofuatilia burudani barani Afrika.

Wazazi wake mwenyewe wanamuita ‘The Next Most Famous Daughter in Africa.’ Kwa ukubwa wa Diamondplatnumz na mama yake Zari , hakuna ubishi kuwa Tiffah ana kila sifa ya kuja kuwa ‘binti maarufu zaidi barani Afrika.

Ikiwa ni saa chache tu tangu kuzaliwa kwake, akaunti yake ya Instagram iliyofunguliwa imefikisha followers zaidi ya 25,000.

Picha yake ya kwanza kuwekwa kwenye akaunti hiyo ina zaidi ya comments 1000. “Welcome to the next most famous daughter in Africa… my dad and mom decided to call me Latiffah but I wanna be called Latty or Tiffah #princesstiffa #lattyplatnumz,” yanasomeka maelezo kwenye picha hiyo.

Makadirio ni kuwa akaunti hiyo inaweza kuvuka followers laki moja ndani ya siku mbili au zaidi ya followers 200k hadi wiki inaisha. Hiyo ni speed kubwa sana kwa akaunti ya Instagram kupata followers kiasi hicho.

Mashabiki wa Diamond na Zari na wana shauku kubwa ya kuiona sura ya malaika huyo. Hakuna uwezekano wa wawili hao kuiweka sura yake mapema. Hamu ya watu kutaka kumuona mtoto huyo inaweza kutumiwa kama fursa ya kibiashara na wazazi wake.

Na pengine Diamond na Zari wanaweza kuwa miongoni mwa mastaa wachache wa Afrika (kama wapo) waliowahi kuingiza fedha kupitia picha za mtoto wao. Kipaji cha Diamond na Zari cha kutengeneza fursa za kibiashara kinaweza kuwasaidia kumfanya mtoto wao kuanza kutengeneza fedha akiwa na umri mdogo.

Kufunguliwa akaunti ya Instagram ni hatua ya kwanza katika kumbrand mtoto huyo na kwakuwa mtandao huo umekuwa ukitumika kuwaingiza fedha wasanii duniani, usishangae siku za usoni, makampuni makubwa hasa yanayojihusisha na bidhaa za watoto, yakaichukua akaunti hiyo (retain) ili waitumie kwenye promotion za bidhaa zao. Na isitoshe deals zimeshaanza kuingia.

Umaarufu wa mtoto wa kwanza wa Diamond si kitu ambacho hakikutarajiwa. Habari kuhusu wapenzi hao kumkaribisha duniani mtoto wao kwa siku kadhaa itatengenezwa vichwa vya habari katika bara zima la Afrika.

ben pol

Young Killer Msodoki Feat. Maua Sama - Do For Me | Download MP3





Imesubiriwa kwa shauku iliyoje, mengi yamesemwa lakini imefikia hatua ya mitandao mingi kufanya tukio hili kuwa habari iliyofika kwenye madawati yao hivi punde.
Kwa post hii ya Diamond kwenye ukurasa wake wa Twitter na Instagram dakika chache zilizopita ni dhahiri kuwa familia ya Wasafi imepata ongezeko la mtoto wa kike.
Jina la mtoto huyo ni Latifa ingawa bado hospitali alipojifungulia Zari haijawekwa wazi.

Tukiwa tumebakiza mieze michache mwaka 2015 uishe, waweza jaribu kupitia hizi video bora zaidi Afrika zilizotazamwa zaidi duniani katika mtandao wa Youtube
1. Collabo - P-Square Ft. Don Jazzy; The video tops the list as it has been viewed 9,054,909 times.


2. Ololufe - Flavour Ft. Chidinma comes second in the list as it has viewed 4,072,017 times.

3. Nana - Diamond Ft. Flavour is the third in the list as it has collected total of 3,389,212 viewers.


4. Nasema Nawe - Diamond Ft. Khadija Kopa; a Tanzanian singer Diamond doubles in the list as his song Nasema Nawe has been watched 3,379,757 times making it fourth in the list.


5. Ojuelegba - Wizkid; Number five goes back to Nigeria as Ojuelegba seals the list by collecting 2,880,086 viewers on You Tube and make Wizkid part of the 5 giants.

Staa wa muziki wa nchini Uganda, Eddy Kenzo ameendelea kupata mashavu kupitia rekodi yake ya “Sitya Loss” kimataifa, baada ya watayarishaji wa filamu kubwa huko Afrika Kusini kuwasiliana naye wakitaka kutumia rekodi hiyo katika filamu yao.


STUDIO
FREZZO RECORDS

PRODUCER
AIDAN MACHORD

SINGER
CHOKA SOLO

SONG
BYE
Msanii wa Bongo Movies, Adam Haji ‘Baba Haji’ aliangusha sebene la nguvu kwenye Viwanja vya Ngome Kongwe, Zanzibar baada ya kupata taarifa kuwa Wema Sepetu aliyekuwa akiwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida kwa ‘leseni’ ya CCM, ameangushwa.
“Jamani mmesikia majibu? Mbunge wenu kashika nafasi ya mwisho, ngoja mimi niendelee kucheza sebene langu,” alisikika Baba Haji huku akiangua kicheko. Source: GPL
Baada kufungiwa kujishughulisha na shughuli za sanaa kwa kipindi cha mwaka mmoja, mwanadada Shilole ameibuka na kuongea haya; “Mnataka nikaishi wapi nina familia ya watu 10 ndani, nina watoto 2 wanaosoma boarding kila mwaka ninatakiwa nilipe mil 5 kila mmoja, nina watoto 3 yatima ninaowalea wanasoma vilevile, kupitia muziki huu huu ninaofanya ambao watu wengine mnaudharau lakini ndio unaonifanya nifike hapa, ninalipa kodi ya nyumba Mil 7 kwa mwaka, ninalipa kodi ya maendeleo ya nchi yangu na bado nina watu ninaowasaidia”