Star wa Muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz bado anazidi kuongeza wigo wa kutoboboa kimuziki hasa kwa soko la kimataifa,kwani hivi sasa ameweza kuwa amefikia hatua ya kuwa ana miliki application yake mwenyewe ya google play.
Mbali na kuwa ameanza kutoka nje ya mipaka zaidi ya Tanzania kwa kufanya collabo na wasanii wengi wa kimataifa pia ameona fursa nyingine ya kuzidi kuji tangaza zaidi.
Application hiyo itasaidia kuonyesha kila kitu kinacho muhusu Diamond ikiwemo maisha ya kawaida,muziki pamoja na event zake zijazo.

Linah Ft
Wimbo mpya walioshirikiana Linah na Christian Bella. Wimbo unaitwa Hellow!
Hi ndio Official Video for the song "Kiboko Yangu" produced by Marco Chali of MJ Records.
The video was Directed by Kevin Bosco Jr. of D.M.P. Films in Nairobi, Kenya.
Follow me on twitter: @MwanaFA
Facebook page: https://www.facebook.com/binamu13
Follow on Instagram: http://www.instagram.com/MwanaFA