Baada ya raia kuonekana kupokea vizuri ngoma ya Nikumbatie ambayo ammshirikisha Producer Fundi Samweli.
Sasa rapper Joh Makini yuko mbioni kuachia ngoma yake nyingine mpya
inayokwenda kwa jina la Ni Penzi ambayo ambayo amemshirikisha msanii wa
kizazi kipya maarufu kama Damian.