Mkali wa muziki wa bongofleva Baby Madaha ambaye kwa sasa anafanya mziki chini ya record lebel ya Candy And Candy ya nchini Kenya huku akiwa na heat song ya Summer holiday aachia video nyingine mpya ya Squeeze me tight.
Ni kazi nzuri sana, icheki hapo chini
Ni kazi nzuri sana, icheki hapo chini