VERSE1:
Kwanza mapenzi safari, ujana ni maji ya moto
Walinenaga zamani...
Pili tumetoka mbali, matatizo changamoto
tu visa visa fulani...
tatu kidonda chako kwangu maradhi
Mama tu usononekapo kwangu simanzi..
Kwa mahaba uliyonipa nimenogewa
ni vurugu patashika punguza kidogo..
Na mengine kadharika toto si unanielewa?
Hapo hapo uliposhika...ukiongeza kidogo mi mwenzako ntaumia
CHORUS:
Your my number one - my sweety sweety
Number one - my baby ooh oh
Your my umber one...oooh my darling
Number one - roho yangu mama x2
Roho yangu mama...
VERSE 2:
Na nna wivu sikatai, maana uchungu wa mapenzi naujua
So Usije kunilaghai nikaja kuzama ukanizingua x2
Now show me how they do..
Ngololo x6
JideJaydee
na Mr Blue wakiimba "Wangu" katika Tamasha la Kili Music Tour
lililofanyika Usiku wa Kuamkia leo Katika Viwanja Vya Leaders.
Si mwingine ni Roma Mkatoliki
akiendeleza makamuzi katika Kili Music Tour Usiku wa Kuamkia leo katika
Viwanja Vya Leaders ambapo Kili Music Tour ndio imehitimishwa jijini Dar
Usiku wa Kuamkia leo
Recho katika jukwaa la Kili Music
Tour Usiku wa Kuamkia leo katika Viwanja vya leaders akitoa burudani kwa
wakazi wa Jiji la Dar na Vitongoji Vyake wakati wa Tamasha hilo
lililofanyika katika Viwanja Vya leaders usiku wa kuamkia leo.
Msanii Recho akikata mauno
kuonyesha uwezo wake katika Jukwaa la Kili Music Tour iliyofanyika usiku
wa Kuamkia leo katika Viwanja Vya leaders
Recho akiwa amebeba na mmoja wa
mashabiki wake aliyemuita jukwaani kwaajili ya kucheza nae, Hapo
akionyesha uwezo wake wa kuzungusha nyonga
Zembwela
na Dullah wakiwa ma MC wa Kili Music Tour iliyofanyika Usiku wa Kuamkia
Leo Katika Viwanja vya Leaders wakijadiliana Jambo
Mwamba Wa Kaskazini, John Makini
akiporomosha song lake la Bei ya Mkaa kwa Mashabiki walifurika katika
Viwanja vya leaders usiku wa Kuamkia leo Katika Kili Music Tour
iliyofanyika katika Viwanja vya leaders.
Baadhi ya Wakazi wa Jiji la Dar es
Salaam pamoja na vitongoji vyake wakiwa makini Katika Kufuatilia Show
kutoka kwa Wasanii wa Kili Music Tour iliyofanyika usiku wa Kuamkia leo
katika Viwanja vya leaders.
The True Boy Ney wa Mitego,
anajiita rais wa manzese akiporomosha song lake la Salamu zao Kwa
Mashabiki waliofurika Katika viwanja vya leaders usiku wa Kuamkia leo
katika Kili Music Tour.
Umati wa Wakazi wa Jiji la Dar waliofurika katika Viwanja vya Leaders usiku wa Kuamkia leo katika Show ya Kili Music Tour.
Diamond na Ney wa Mitego wakiimba Nyimbo ya Muziki gani katika Jukwaa la Kili Music Tour usiku wa Kuamkia leo
Prof Jay akiwa na lady jay Dee na
Nikki Mbishi wakitoa Burudani kwa wakazi wa Jiji la Dar na vitongoji
vyake katika Kili Music Tour iliyofanyika katika Viwanja vya leaders
usiku wa kuamkia leo
Diamond na Ney wa Mitego wakitoa Burudani ya kufa mtuDiamond platnum akiburudisha wakazi wa jiji
Mzee Yusuph nae alikuwepo
Dj Mafuvu kutoka East Africa Tv and Redio akiwapagawisha mashabiki
Check out the real names of Snoop Dogg, Jayz, Nicki Minaj, T.I, Lil wayne, Eminem Dr Dre and others after the cut
Snoop Dogg Real name: Calvin Cordozar Broadus, Jr.
Nicki Minaj Real name: Onika Tanya Maraj
Lil Kim Real name: Kimberly Denise Jones
Diddy Real name: Sean John Combs
Eve Real name: Eve Jihan Jeffers
Foxy Brown Real name: Inga DeCarlo Fung Marchand
Missy Elliott Real name: Melissa Arnette Elliott
Angel Haze Real name: Raykeea Wilson
Iggy Azalea Real name: Amethyst Amelia Kelly
M.I.A. Real name: Mathangi Arulpragasam
Kendrick Lamar Real name: Kendrick Lamar Duckworth
A$AP Rocky Real name: Rakim Mayers
T.I. Real name: Clifford Joseph Harris, Jr.
French Montana Real name: Karim Kharbouch
Future Real name: Nayvadius Cash
Tyga Real name: Michael Ray Nguyen-Stevenson
Drake Real name: Aubrey Drake Graham
Rick Ross Real name: William Leonard Roberts II
Rocko Real name: Rodney Ramone Hill, Jr.
RiFF RAFF Real name: Horst Christian Simco
Wale Real name: Olubowale Victor Akintimehin
50 Cent Real name: Curtis James Jackson III
Eminem Real name: Marshall Bruce Mathers III
Dr. Dre Real name: Andre Romelle Young
Kid Cudi Real name: Scott Ramon Seguro Mescudi
Wiz Khalifa Real name: Cameron Jibril Thomaz
Jay Z Real name: Shawn Corey Carter
Lil Wayne Real name: Dwayne Carter III
Birdman Real name: Bryan Williams
Mack Maine Real name: Jermaine Preyan
Gucci Mane Real name: Radric Davis
2 Chainz Real name: Tauheed Epps
Young Jeezy Real name: Jay Wayne Jenkins
Ace Hood Real name: Antoine McColister
Chief Keef Real name: Keith Cozart
T-Pain Real name: Faheem Rasheed Najm
Prince Dully Sykes amesema anamfananisha
hitmaker wa ‘Number 1’ Diamond Platnumz na marehemu Steven Kanumba kwa
jinsi alivyo na moyo wa kuthubutu katika mambo yake.
Dully Sykes alikuwa akiongea na Bongo5 kwenye uzinduzi wa video ya video mpya ya Diamond uliofanyika wiki iliyopita kwenye ukumbi wa Serena Hotel jijini Dar es Salaam.
“Diamond ni namba moja kwasababu yupo tayari kujitoka kwa kila kitu,” alisema Dully. “Naweza kumfananisha Diamond na mtu kama Kanumba. Kanumba alikuwa ana uwezo wa hata kuchukua nauli yake ya kwenda sehemu kama Ghana kwenye tamasha la movie lakini ilimradi kujitengenezea status yake. Kwahiyo Diamond ni mtu ambaye tayari ameshajitolea kwaajili ya kuutetea muziki wetu.”
Pia Dully amesema mwishoni mwa mwaka huu anatarajia kuiongezea vifaa vipya studio yake ‘4.12’ ili kujiimarisha zaidi kwenye utayarishaji wa muziki ambao anasema kwa sasa anaufurahia zaidi kuliko hata kuimba
Dully Sykes alikuwa akiongea na Bongo5 kwenye uzinduzi wa video ya video mpya ya Diamond uliofanyika wiki iliyopita kwenye ukumbi wa Serena Hotel jijini Dar es Salaam.
“Diamond ni namba moja kwasababu yupo tayari kujitoka kwa kila kitu,” alisema Dully. “Naweza kumfananisha Diamond na mtu kama Kanumba. Kanumba alikuwa ana uwezo wa hata kuchukua nauli yake ya kwenda sehemu kama Ghana kwenye tamasha la movie lakini ilimradi kujitengenezea status yake. Kwahiyo Diamond ni mtu ambaye tayari ameshajitolea kwaajili ya kuutetea muziki wetu.”
Pia Dully amesema mwishoni mwa mwaka huu anatarajia kuiongezea vifaa vipya studio yake ‘4.12’ ili kujiimarisha zaidi kwenye utayarishaji wa muziki ambao anasema kwa sasa anaufurahia zaidi kuliko hata kuimba