Kava hiyo iliyoandikwa "No kidding", Wizkid kazungumzia kuhusu historia yake na hasa kimuziki tangu alipoanza na hadi alipofikia pamoja na mafanikio aliyoyapata katika muziki. Pia kazungumzia chanzo cha sauti yake na watu waliomfanya kuwa Wizkid wa sasa, pamoja na meneja wake wa zamani Osagie
Osarenkhoe na Empire Mates Entertainment ambayo bosi wake ni mtu mzima Banky W, kama unaufahamu wimbo wa Sugar(money, love & sex) alioimba na wasanii kutoka Afrika mashariki.
Ni kutokana na kuzorota kwa afya yake siku za hivi karibuni na kufanya rapa huyo maarufu duniani kutoka jiji la L.A (Los Angels) kupelekwa hospitali ambako kwa taarifa kutoka kwa mlezi wa Cash Money Birdman ambaye anapenda kumwita Wayne mwanae, ametweet katika akaunti yake kuwa "My son is feelin Good. Will be home real soon,"
Check Out Justin Bieber's Birthday Gift from His Dad
Its looks like a joke a 19 years old boy with a lot of money entering a forbes record of top ten TEENS with more money in the world. It was his 19th birthday since his birth and his lovely dad gave him a very nice gift, CHECK IT OUT.
His father, Jeremy, gifted his son with a customized MV Agusta
motorcycle called the "Bat Bike. In this video, Jeremy explains what
made him get the bike for his son. "So, what do you get somebody that
has everything?" he says. "This is what you get!"