Aliyekuwa mchezaji machachari wa AC Millan, mchezaji mwenye mbwembwe za kila aina uwanjani na mitaani aelekea kukipiga AC Millan Italia.
Akiwa AC Millan atavalia jezi yenye namba 45 pamoja na Rossoneri huku akiwa amesaini mklataba wa kuitumikia timu hiyo inayong'ara katika ligi yenye umaarufu mkubwa nchini Italia na kote duniani hadi mwaka 2017.
Mwalimu wa madrasa kauliza swali kwa wanafunzi wake!
Sheikh mkuu wa TZ anaitwa nani?.Darasa zima wakanyoosha mkono na mwl akamchagua mwanafunzi mmoja huku wengine wakiendelea kunyoosha vidole,! Dogo akajibu kwa kujiamini"ostadhi juma na musoma". Mwalimu akashangaa kuona wanafunz wote wanashusha mikono., Mwalimu akaamua kuuliza, mbona mmeshusha mikono! Wanafunzi kwa pamoja wakajibu ndo ''huyohuyoooo....!
Sheikh mkuu wa TZ anaitwa nani?.Darasa zima wakanyoosha mkono na mwl akamchagua mwanafunzi mmoja huku wengine wakiendelea kunyoosha vidole,! Dogo akajibu kwa kujiamini"ostadhi juma na musoma". Mwalimu akashangaa kuona wanafunz wote wanashusha mikono., Mwalimu akaamua kuuliza, mbona mmeshusha mikono! Wanafunzi kwa pamoja wakajibu ndo ''huyohuyoooo....!
Misemo mingi imekua ikisikika inayomuhusu msanii huyu anayeng'ara katika mziki wa bongo fleva, na hasa pale alipoamua kuamishia makazi yake huko Nairobi Kenya. Na hii imetokana na msanii huyu kuonekana akikubalika sana huko Kenya na kuudhirishia umma kuwa NABII hakubaliki kwao. Na hii ndio ngoma yake mpya aliyomshirikisha CP inayokwenda kwa jina la Ready to go. Big up Machozi kwa ngoma nzuri na tamu inayofaa kwa matumizi ya binadamu na hasa kwa wana Bongo fleva.
Lulu (Elizabeth Michael) kuachiwa kwa dhamana
Kutokana na habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii wa filamu nchini Tanzania, Elizabeth Michael aka Lulu ambaye yuko mahabusu katika gereza la Segerea jijini Dar es Salaam, hatotoka leo kama ilivyoandikwa na vyombo mbalimbali vya habari. Hii ni kutokana na kutotimiza masharti yote ya dhamana ikiwa ni pamoja na hati za kusafiria pamoja na dhamana ya milioni 20.
Wiki iliyopita mawakili wa muigizaji huyo waliwasilisha maombi ya dhamana kwa mahakama hiyo kuu ya Tanzania.
Wanasheria hao Peter Kibatala, Kennedy Fungamtama na Fulgence Massawe waliomba dhamana hiyo itolewe haraka kwakuwa muombaji amekaa mahabusu kwa zaidi ya miezi saba na kwamba kosa lake linaweza kupewa dhamana.
Lulu anakabiliwa na kesi ya kumuua bila kukusudia Steven Kanumba April 7, 2012, huko Sinza Vatican, jijini Dar es Salaam.
Kanumba alidaiwa kuwa kwenye ugomvi na Lulu aliyekuwa mpenzi wake nyumbani kwake Sinza.
Hii ndio ngoma mpya kutoka kwa rapper Ney Wa Mitego ikiwa inaitwa ''Utavuna Ulichopanda''.
Ni ngoma nzuri sana inafaa kwa kusikilizwa na watanzania wote wanaopenda mziki wa Bongo kwani ina ujumbe mzuri ikiwa ni tofauti na ilivyozoeleka kwa msanii huyu kutoka na ngoma za kuwakandia wasanii wa Bongo kutokana na tabia zao wanazozifanya.
Sugu akiwa ndani ya EATV katika kipindi cha Friday Night Live
amemshukia roma na kumuonya kuwa awe mwangalifu na anachokiandika sio
kukurupuka na kuandika vitu asivyokuwa na uhakika navyo.
Katika wimbo huo kuna kipande kinasema "Pesa ndio imemaliza bifu ya Ruge na Sugu"
Sugu alienda mbali zaidi na kusema madogo wanaokuja juu kimuziki
hawamuwezi na ndio maana kawatafutia wa level zao ambaye ni mwanaye
Sasha.
Sugu alienda mbali zaidi na kusema madogo wanaokuja juu kimuziki hawamuwezi na ndio maana kawatafutia wa level zao ambaye ni mwanaye Sasha.
MAANA PESA NDIYO ILIFANYA TUSIWE NA TANGA NDUGU
PESA ILILETA UBAGUZI KATI YA LOYOLA NA PUGU
PESA NDIYO ILICHOCHEA BEEF YA NICE NA DUDU
NA PESA NDIYO ILIMALIZA VITA YA RUGE NA SUGU!!!
Means-
Unapozungumzia pesa basi kila mtu atakuja na tafsiri yake na
mifano na matukio yake yaliyosababishwa na pesa!! ni kitu
chenye maana pana sana na ni kitu kilichokaa nyuma ya vitu
vingi vilivyowahi kutokea!! pengine bila pesa visingetokea!!!
familia nyingi zinaface matatizo mengi sana msiba unapotokea,
hususani wa ile nguzo ya familia!!! hupelekea hata msiba
unaisha na ndugu wanashindwa kukutana na kupanga lolote na hata
kulala matanga hawalali, wanatawanyika !!! tumeshamzika tukafanye
yetu sasa...tukilala matanga ni gharama zingine tena!!!
Kuna utofauti mkubwa sana kati ya mwanafunzi wa shule ya
loyola na pugu hili lipo uchi kabisa!!!utofauti huu huleta
ubaguzi ktk baaadhi ya vipaumbele...
Nilipita kwenye
familia ambayo ina mtoto wa pugu na hapohapo yupo wa loyola!!
baba yao na mama yao ni mmoja lakini kuna utofauti wa malezi ya
kielimu na vitu vingi baina ya watoto hawa wawili!! unadhani
kwanini?
Pesa ilichochea beef ya nice na dudu.....unadhani nice bila zile pesa ile beef ingekuwa kubwa kiasi kile?
Hapa sasa "pesa ilimaliza vita ya ruge na sugu"!!
-shortly ni kuwa issue ya brother sugu kuingia katika vita hii
kama ilivyosemwa awali na ilivyoonekana POINT ilikuwa kuitetea
sanaa, ambayo ni wasanii pia wakiwemo ndani hapo...kuwa
wanachokipata hakistahili kulinganisha na kazi wanayofanya!!
malipo mabovu ya show, uuzwaji mbovu wa kazi za sanaa
unawafaidisha wengine kuliko wasanii,na mengine mengi sana
tuliyasikia!! ambayo kimsingi yote yanaegemea kwenye kipato = pesa!!
Lakini baadae ikaja semwa na pande zote mbili zikakiri kuwa
songombingo hilo limeisha baada ya pande zote mbili kukubaliana
kuwa yote yaliyokuwa yakilalamikiwa yameeleweka na upande wa
brother ruge umekubali kuyamaliza yote yaliyokuwa yakilalamikiwa
kuwa sasa yameisha na yanatekelezwa!!
Sasa hiyo ina
imply nini? kama yameisha ina maana tatizo la malipo duni ya
wasanii, tatizo la wasanii kuingiza pesa nyingi na kulipwa
kidogo tofauti na wanachoingiza..na yote yaliyoongelewa SASA
YAMEFIKIA KIKOMO!!! BASI NI HABARI NJEMA KWA WASANII....
na hiyo yote ni nini?
- ni kuwa sasa watapata kipato sawa na haki yao!!
-wataifanya sanaa yao kwa njia sahihi na za faida kama ilivyokuwa ikihitajika ktk vita hiyo!!
-na wataiona faida ya sanaa kwa ujumla!!
KIPATO=MALIPO=PESA
BASI PESA NDO IMAMALIZA VITA YA RUGE NA SUGU!!
2030 YA R.O.M.A
NAYAJIBU NINAYOULIZWA NA YANAYOHITAJI UFAFANUZI!!!
MAANA PESA NDIYO ILIFANYA TUSIWE NA TANGA NDUGU
PESA ILILETA UBAGUZI KATI YA LOYOLA NA PUGU
PESA NDIYO ILICHOCHEA BEEF YA NICE NA DUDU
NA PESA NDIYO ILIMALIZA VITA YA RUGE NA SUGU!!!
Means-
Unapozungumzia pesa basi kila mtu atakuja na tafsiri yake na mifano na matukio yake yaliyosababishwa na pesa!! ni kitu chenye maana pana sana na ni kitu kilichokaa nyuma ya vitu vingi vilivyowahi kutokea!! pengine bila pesa visingetokea!!!
familia nyingi zinaface matatizo mengi sana msiba unapotokea, hususani wa ile nguzo ya familia!!! hupelekea hata msiba unaisha na ndugu wanashindwa kukutana na kupanga lolote na hata kulala matanga hawalali, wanatawanyika !!! tumeshamzika tukafanye yetu sasa...tukilala matanga ni gharama zingine tena!!!
Kuna utofauti mkubwa sana kati ya mwanafunzi wa shule ya loyola na pugu hili lipo uchi kabisa!!!utofauti huu huleta ubaguzi ktk baaadhi ya vipaumbele...
Nilipita kwenye familia ambayo ina mtoto wa pugu na hapohapo yupo wa loyola!! baba yao na mama yao ni mmoja lakini kuna utofauti wa malezi ya kielimu na vitu vingi baina ya watoto hawa wawili!! unadhani kwanini?
Pesa ilichochea beef ya nice na dudu.....unadhani nice bila zile pesa ile beef ingekuwa kubwa kiasi kile?
Hapa sasa "pesa ilimaliza vita ya ruge na sugu"!!
-shortly ni kuwa issue ya brother sugu kuingia katika vita hii kama ilivyosemwa awali na ilivyoonekana POINT ilikuwa kuitetea sanaa, ambayo ni wasanii pia wakiwemo ndani hapo...kuwa wanachokipata hakistahili kulinganisha na kazi wanayofanya!! malipo mabovu ya show, uuzwaji mbovu wa kazi za sanaa unawafaidisha wengine kuliko wasanii,na mengine mengi sana tuliyasikia!! ambayo kimsingi yote yanaegemea kwenye kipato = pesa!!
Lakini baadae ikaja semwa na pande zote mbili zikakiri kuwa songombingo hilo limeisha baada ya pande zote mbili kukubaliana kuwa yote yaliyokuwa yakilalamikiwa yameeleweka na upande wa brother ruge umekubali kuyamaliza yote yaliyokuwa yakilalamikiwa kuwa sasa yameisha na yanatekelezwa!!
Sasa hiyo ina imply nini? kama yameisha ina maana tatizo la malipo duni ya wasanii, tatizo la wasanii kuingiza pesa nyingi na kulipwa kidogo tofauti na wanachoingiza..na yote yaliyoongelewa SASA YAMEFIKIA KIKOMO!!! BASI NI HABARI NJEMA KWA WASANII....
na hiyo yote ni nini?
- ni kuwa sasa watapata kipato sawa na haki yao!!
-wataifanya sanaa yao kwa njia sahihi na za faida kama ilivyokuwa ikihitajika ktk vita hiyo!!
-na wataiona faida ya sanaa kwa ujumla!!
KIPATO=MALIPO=PESA
BASI PESA NDO IMAMALIZA VITA YA RUGE NA SUGU!!
2030 YA R.O.M.A
NAYAJIBU NINAYOULIZWA NA YANAYOHITAJI UFAFANUZI!!!
PESA ILILETA UBAGUZI KATI YA LOYOLA NA PUGU
PESA NDIYO ILICHOCHEA BEEF YA NICE NA DUDU
NA PESA NDIYO ILIMALIZA VITA YA RUGE NA SUGU!!!
Means-
Unapozungumzia pesa basi kila mtu atakuja na tafsiri yake na mifano na matukio yake yaliyosababishwa na pesa!! ni kitu chenye maana pana sana na ni kitu kilichokaa nyuma ya vitu vingi vilivyowahi kutokea!! pengine bila pesa visingetokea!!!
familia nyingi zinaface matatizo mengi sana msiba unapotokea, hususani wa ile nguzo ya familia!!! hupelekea hata msiba unaisha na ndugu wanashindwa kukutana na kupanga lolote na hata kulala matanga hawalali, wanatawanyika !!! tumeshamzika tukafanye yetu sasa...tukilala matanga ni gharama zingine tena!!!
Kuna utofauti mkubwa sana kati ya mwanafunzi wa shule ya loyola na pugu hili lipo uchi kabisa!!!utofauti huu huleta ubaguzi ktk baaadhi ya vipaumbele...
Nilipita kwenye familia ambayo ina mtoto wa pugu na hapohapo yupo wa loyola!! baba yao na mama yao ni mmoja lakini kuna utofauti wa malezi ya kielimu na vitu vingi baina ya watoto hawa wawili!! unadhani kwanini?
Pesa ilichochea beef ya nice na dudu.....unadhani nice bila zile pesa ile beef ingekuwa kubwa kiasi kile?
Hapa sasa "pesa ilimaliza vita ya ruge na sugu"!!
-shortly ni kuwa issue ya brother sugu kuingia katika vita hii kama ilivyosemwa awali na ilivyoonekana POINT ilikuwa kuitetea sanaa, ambayo ni wasanii pia wakiwemo ndani hapo...kuwa wanachokipata hakistahili kulinganisha na kazi wanayofanya!! malipo mabovu ya show, uuzwaji mbovu wa kazi za sanaa unawafaidisha wengine kuliko wasanii,na mengine mengi sana tuliyasikia!! ambayo kimsingi yote yanaegemea kwenye kipato = pesa!!
Lakini baadae ikaja semwa na pande zote mbili zikakiri kuwa songombingo hilo limeisha baada ya pande zote mbili kukubaliana kuwa yote yaliyokuwa yakilalamikiwa yameeleweka na upande wa brother ruge umekubali kuyamaliza yote yaliyokuwa yakilalamikiwa kuwa sasa yameisha na yanatekelezwa!!
Sasa hiyo ina imply nini? kama yameisha ina maana tatizo la malipo duni ya wasanii, tatizo la wasanii kuingiza pesa nyingi na kulipwa kidogo tofauti na wanachoingiza..na yote yaliyoongelewa SASA YAMEFIKIA KIKOMO!!! BASI NI HABARI NJEMA KWA WASANII....
na hiyo yote ni nini?
- ni kuwa sasa watapata kipato sawa na haki yao!!
-wataifanya sanaa yao kwa njia sahihi na za faida kama ilivyokuwa ikihitajika ktk vita hiyo!!
-na wataiona faida ya sanaa kwa ujumla!!
KIPATO=MALIPO=PESA
BASI PESA NDO IMAMALIZA VITA YA RUGE NA SUGU!!
2030 YA R.O.M.A
NAYAJIBU NINAYOULIZWA NA YANAYOHITAJI UFAFANUZI!!!
Song: Kesho
Studio: Mj-Recordz
Studio: Mj-Recordz
Chorous
Mi nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
nataka kesho twende ukamuone mama x2
Verse 1
Kwanza kabisa ntanyonga Tai
T”shirt na Jeans ntatupa kidogo..
Unite Nasibu usiniite Dai
Asije kukuona muhuni akapandisha Mbogo…
Naukifika uagize Chai
Savanna Takila uzipe kisogo…
Kuhusu mavazi kimini haifai
Tupia pendeza ila za Hekima Logo…
Even though wanaponda eti we ni kicheche
Waambie ndoo chaguo langu sasa wanicheke x2
Chorous
Minataka kesho twende nikupeleke nyumbani
Nataka kesho twende ukamuone mama x2
Verse 2
Usilete swaga za Nainai
Ukanyoa kiduku kama Moze Iyobo..
Eti shoping twende Tai
wakati Dadaangu anaduka kigogo..
Ukikuta Nguna usikatae
we zuga unapenda hata kama wa Muhogo..
Kuhusu kabila mbona Sadai
Mama angu hana noma hata kama Mgogo
Even though wanaponda eti we ni kicheche
Waambie ndoo chaguo langu sasa wanicheke x2
Chorous
Minataka kesho twende nikupeleke nyumbani
Nataka kesho twende ukamuone mama x2
Bridge
Mama yangu mama…
Mama Naseeb mama…
Mama Diamond mama…
Mama yangu nyumbani…
Mama Chali mama…
Mama Sepetu mama…
Mama Kidoti mama…
Kwa mama Diamond nyumbani…
Chorous
Minataka kesho twende nikupeleke nyumbani
Nataka kesho twende ukamuone mama x2
Song: Wazo La Leo
Artist: Stamina Feat Fid Q
Studio: Bongo Records
Producer: P funk Majani
Song Writters: Stamina (verses) & Fid Q (chorus)
Intro... U know what majani??nice to meet you homie Its moro town baby,,, shorobwenzi
Verse 1. (Stamina)
Elimika nyangema, maisha hayaendeshwi na nguo
Pesa ni vazi la mgema, haliwezi kuwa na mpasuo
Vaa uaminifu,tupa boksi la kondomu
Hip hop haijengwi na bifu,underground usijaze fomu
Maisha ni kujipanga, mganga usigawe irizi
Viongozi msizuie ganja, huku mnachukua ushuru wa rizz
Ridhiki ina kamba, ivute ili ikupe noti
Mkulima rudi shamba,dec mbegu siku hizi hazioti
Maisha njia panda,mtembezi chagua pa kwenda
Uchumi vazi la bwanga,ukishuka uvishe suspenda
Shiba kwa nia,ukiwa mlafi wa malengo
Usikufuru we shukuru ukifaulu kila tendo
Punguza pupa,mpendaji uingie ndoani
Mapenzi yamevaa bukta,uswazi mapaja hadharani
Usilale kijinga,kwenye kitanda cha ushamba
Unaweza kuwa shabiki wa samba,na ukaishi mwembe yanga
Chorus. (Fid Q)
Hiki kijiko unachokiona, baada ya kula kwa mkono
Ndomu usiyoiona,mpaka ukishafanya ngono
Neno la kuponya,lilokosa mdomo
Na hili bonge la ngoma,kwenu kwangu ni kama somo {Hilo ndo wazo la leo}
inshu usingizi wa furaha,mzinzi jenga kibanda cha angaza utoe nasaha. {hilo ndo wazo la leo}
usiishi kwa vikwazo,weka wazo kwenye vyanzo vyako- {hilo ndo wazo}
Verse 2. (Stamina)
Underground panga tenzi,ustar hauji kwa promo
Hakuna tajiri wa mapenzi,kapuku punguza ngono
Bora uitwe mfalme jua,kwenye utawala wa kishamba
Mapenzi yakikusumbua, tafuta daktari wa kitanga
Vazi unaloishi, mwenyezi yeye ndio disegner
Shetani akikushawishi, mvute kwake kama dayna
Dunia duara,jitahidi uizunguke
Mla bata starehe hasara,,wekeza hadhi isishuke
Huna undugu na bakhersa,niaje aje unakula unga
Mateja wanahitaji sensa,taifa la kesho linavunda
Dogo jifunze,heshima sio upaparazi
Mwambie na dada ajitunze,mlango wake asiuache wazi
Kama unajijua ni mchoyo,basi usingoje kupewa
Tafuta pesa kwa moyo,sio kwa ushindi wa ngekewa
Sharo mpe salamu,the great braza kanumba
Mwambie bongo sio tamu,na lulu bado wamemfunga
Chorus(fid q)
Hiki kijiko unachokiona, baada ya kula kwa mkono
Ndomu usiyoiona,mpaka ukishafanya ngono
Neno la kuponya,lilokosa mdomo
Na hili bonge la ngoma,kwenu kwangu ni kama somo {Hilo ndo wazo la leo}
inshu usingizi wa furaha,mzinzi jenga kibanda cha angaza utoe nasaha. {hilo ndo wazo la leo}
usiishi kwa vikwazo,weka wazo kwenye vyanzo vyako- {hilo ndo wazo}
Verse 3. (Stamina)
Utamu wa ndafu ya harusi,sio wa ndoa we kilaza
Mbuzi atabaki mbuzi,hata mle hadi mkasaza
Nchi tayari imekonda, mwananchi tafuta ulaji
Life ngumu hadi omba omba,
kidonda anafanya mtaji ukipata mazuri,
ipange kuikwepa hasara kijana vazi la msuli,
haliwezi kukuvisha busara ukiishi kwa hisia,
kila stone litakubanza cha msingi ni kuweka nia,
ujivue kuwa mtanza kata ya kijiji,
haibebi maji ya maendeleo katibu tunza mkwiji,
msuli ukishuka kimeo uchumi umeshika tama,
kwenye shavu la mlanguzi raia usilaumu chama,
shiriki kwenye uchaguzi unaweza ukavaa kinga,
ila ukafa kwa uaminifu mzinzi usigawe ujinga,
sambaza ujumbe wasifu hakuna snitch kama pesa,
ukiwa nae fanya vya maana akiondoka atakutesa,
utamsaka usiku na mchana
Chorus. (Fid Q)
Hiki kijiko unachokiona, baada ya kula kwa mkono
Ndomu usiyoiona,mpaka ukishafanya ngono
Neno la kuponya,lilokosa mdomo
Na hili bonge la ngoma,kwenu kwangu ni kama somo {Hilo ndo wazo la leo}
inshu usingizi wa furaha,mzinzi jenga kibanda cha angaza utoe nasaha. {hilo ndo wazo la leo}
usiishi kwa vikwazo,weka wazo kwenye vyanzo vyako- {hilo ndo wazo}